Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 1:27 - Swahili Revised Union Version

27 Niliomba nipewe mtoto huyu; BWANA akanipa dua yangu niliyomwomba;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Nilimwomba anipe mtoto huyu, na yeye alinipa kile nilichomwomba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Nilimwomba anipe mtoto huyu, na yeye alinipa kile nilichomwomba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Nilimwomba anipe mtoto huyu, na yeye alinipa kile nilichomwomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Niliomba mtoto huyu, naye Mwenyezi Mungu amenijalia kile nilichomwomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Niliomba mtoto huyu, naye bwana amenijalia kile nilichomwomba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Niliomba nipewe mtoto huyu; BWANA akanipa dua yangu niliyomwomba;

Tazama sura Nakili




1 Samueli 1:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibariki kweli kweli, na kuipanua mipaka yangu, na mkono wako ukawa pamoja nami, nawe ungenilinda nisipatwe na maovu wala madhara! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.


Katika shida yangu nilimwita BWANA; BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.


Katika shida yangu nilimlilia BWANA Naye akaniitikia.


BWANA ameisikia dua yangu; BWANA atayatakabali maombi yangu.


Siku zote za kujitenga kwake, yeye ni mtakatifu kwa BWANA


Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;


Na kama tukijua kwamba atusikia, tunapoomba chochote, tunajua kwamba tumetimiziwa zile haja tulizomwomba.


Naye Eli akambariki Elkana na mkewe, akasema, BWANA na akupe uzao kwa mwanamke huyu, wachukue mahali pa yule aliyemtoa kwa BWANA. Kisha wakarudi nyumbani kwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo