Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 4:44 - Swahili Revised Union Version

wale waliohesabiwa kwao, kwa jamaa zao, walikuwa elfu tatu na mia mbili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ilikuwa watu 3,200.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ilikuwa watu 3,200.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ilikuwa watu 3,200.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa elfu tatu na mia mbili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wale waliohesabiwa kwao, kwa jamaa zao, walikuwa elfu tatu na mia mbili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 4:44
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao waliohesabiwa kwao, kama hesabu ya wanaume wote, kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, walikuwa elfu sita na mia mbili.


kuanzia wenye umri wa miaka thelathini na zaidi, hadi umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi kwa kazi katika hema ya kukutania,


Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, ambao Musa na; Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA, kwa mkono wa Musa.


Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita muwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili muweze kustahimili.


Makomeo yako yatakuwa ya chuma na shaba; Na kadiri ya siku zako ndivyo zitakavyokuwa nguvu zako.