Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 4:45 - Swahili Revised Union Version

45 Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, ambao Musa na; Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA, kwa mkono wa Musa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Hii ndiyo idadi ya watu wa ukoo wa Merari ambao Mose na Aroni waliwahesabu kama Mwenyezi-Mungu alivyomwagiza Mose.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Hii ndiyo idadi ya watu wa ukoo wa Merari ambao Mose na Aroni waliwahesabu kama Mwenyezi-Mungu alivyomwagiza Mose.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Hii ndiyo idadi ya watu wa ukoo wa Merari ambao Mose na Aroni waliwahesabu kama Mwenyezi-Mungu alivyomwagiza Mose.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Wamerari. Musa na Haruni waliwahesabu kufuatia amri ya Mwenyezi Mungu kupitia kwa Musa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Wamerari. Musa na Haruni waliwahesabu kufuatia amri ya bwana kupitia kwa Musa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

45 Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, ambao Musa na; Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA, kwa mkono wa Musa.

Tazama sura Nakili




Hesabu 4:45
3 Marejeleo ya Msalaba  

Katika habari ya wana wa Merari, utawahesabu kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao;


wale waliohesabiwa kwao, kwa jamaa zao, walikuwa elfu tatu na mia mbili.


Wote waliohesabiwa katika Walawi, ambao Musa na Haruni na hao wakuu wa Israeli waliwahesabu, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo