Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:36 - Swahili Revised Union Version

Na wana wa Shuthela ni hawa; wa Erani, jamaa ya Waerani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Shuthela.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Shuthela.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Shuthela.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Shuthela ni hawa; wa Erani, jamaa ya Waerani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:36
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Efraimu; Shuthela, na mwanawe huyo ni Beredi, na mwanawe huyo ni Tahathi, na mwanawe huyo ni Ekada, na mwanawe huyo ni Tahathi;


Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.


Hawa ndio jamaa wa wana wa Efraimu kama waliohesabiwa kwao, elfu thelathini na mbili na mia tano. Hao ndio wana wa Yusufu kwa jamaa zao.