Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:1 - Swahili Revised Union Version

Ikawa baada ya hilo pigo, BWANA akanena na Musa na Eleazari, mwana wa Haruni kuhani, na kuwaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya yale maradhi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya yale maradhi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya yale maradhi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya hiyo tauni, Mwenyezi Mungu akamwambia Musa na Eleazari mwana wa kuhani Haruni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya hiyo tauni, bwana akamwambia Musa na Eleazari mwana wa kuhani Haruni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa baada ya hilo pigo, BWANA akanena na Musa na Eleazari, mwana wa Haruni kuhani, na kuwaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:1
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kama BWANA alivyomwagiza Musa, ndivyo alivyowahesabu huko katika jangwa la Sinai.


kwa sababu wao wawasumbua ninyi kwa hila zao, ambazo kwa hizo wamewadanganya ninyi katika jambo la Peori, na katika jambo la huyo Kozbi, binti wa mkuu wa Midiani, dada yao, huyo aliyeuawa siku hiyo ya pigo katika jambo la Peori.


Nao waliokufa kwa pigo hilo idadi yao ilikuwa elfu ishirini na nne.