Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 1:19 - Swahili Revised Union Version

19 Kama BWANA alivyomwagiza Musa, ndivyo alivyowahesabu huko katika jangwa la Sinai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose. Mose akawahesabu watu hawa kule jangwani Sinai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose. Mose akawahesabu watu hawa kule jangwani Sinai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose. Mose akawahesabu watu hawa kule jangwani Sinai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 kama Mwenyezi Mungu alivyomwagiza Musa. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 kama bwana alivyomwagiza Musa. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Kama BWANA alivyomwagiza Musa, ndivyo alivyowahesabu huko katika jangwa la Sinai.

Tazama sura Nakili




Hesabu 1:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Sulemani akawahesabu wageni wote waliokuwamo katika nchi ya Israeli, kulingana na hesabu aliyoifanya Daudi baba yake; wakatokea elfu mia moja hamsini na tatu, na mia sita.


Musa akafanya hayo yote; kama BWANA aliyoagiza ndivyo alivyofanya yote.


hapo walipoingia hema ya kukutania, na hapo walipoikaribia madhabahu walinawa kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Fanyeni hesabu ya watu wote wa Israeli, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina ilivyo, kila mwanamume mmoja mmoja;


Ndivyo walivyofanya wana wa Israeli; kama yote BWANA aliyomwagiza Musa, ndivyo walivyofanya.


Hivyo ndivyo walivyofanya wana wa Israeli; kama BWANA alivyomwamuru Musa; ndivyo walivyojipanga kufuata bendera zao, na ndivyo walivyosafiri, kila mtu kwa jamaa zao, kwa nyumba za baba zao.


Hao ndio waliohesabiwa na Musa na Eleazari kuhani; ambao waliwahesabu wana wa Israeli katika nchi tambarare za Moabu, karibu na Yordani, hapo Yeriko.


kisha hizo fedha za ukombozi Musa akampa Haruni na wanawe, kama neno la BWANA, kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo