Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 2:5 - Swahili Revised Union Version

Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Isakari; na mkuu wa wana wa Isakari atakuwa Nethaneli mwana wa Suari;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale watakaofuata kupiga kambi baada ya watu wa Yuda watakuwa kabila la Isakari, kiongozi wao akiwa Nethaneli mwana wa Suari,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale watakaofuata kupiga kambi baada ya watu wa Yuda watakuwa kabila la Isakari, kiongozi wao akiwa Nethaneli mwana wa Suari,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale watakaofuata kupiga kambi baada ya watu wa Yuda watakuwa kabila la Isakari, kiongozi wao akiwa Nethaneli mwana wa Suari,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kabila la Isakari watapiga kambi karibu na Yuda. Kiongozi wa watu wa Isakari ni Nethaneli mwana wa Suari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kabila la Isakari watapiga kambi karibu na Yuda. Kiongozi wa watu wa Isakari ni Nethaneli mwana wa Suari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Isakari; na mkuu wa wana wa Isakari atakuwa Nethaneli mwana wa Suari;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 2:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.


Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Isakari alikuwa Nethaneli mwana wa Suari.


Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu sabini na nne na mia sita.


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na nne na mia nne;


Siku ya pili Nethaneli mwana wa Suari, mkuu wa Isakari, alitoa;


na kwa dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Nethaneli mwana wa Suari.