Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:18 - Swahili Revised Union Version

18 Siku ya pili Nethaneli mwana wa Suari, mkuu wa Isakari, alitoa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Siku ya pili, Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari alitoa sadaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Siku ya pili, Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari alitoa sadaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Siku ya pili, Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari alitoa sadaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Siku ya pili yake Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa Isakari, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Siku ya pili yake Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Siku ya pili Nethaneli mwana wa Suari, mkuu wa Isakari, alitoa;

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Isakari; na mkuu wa wana wa Isakari atakuwa Nethaneli mwana wa Suari;


na kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja hayo ndiyo matoleo ya Nashoni mwana wa Aminadabu.


yeye akasongeza matoleo yake, sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa ni sadaka ya unga;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo