Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 10:20 - Swahili Revised Union Version

Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Eliasafu mwana wa Deueli, aliliongoza kabila la Gadi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Eliasafu mwana wa Deueli, aliliongoza kabila la Gadi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Eliasafu mwana wa Deueli, aliliongoza kabila la Gadi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 10:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Ndipo wakasafiri Wakohathi wenye kuvichukua vile vitu vitakatifu; na hao wengine wakaisimamisha maskani kabla hawajaja wao.


na kabila la Gadi; na mkuu wa wana wa Gadi atakuwa Eliasafu mwana wa Deueli;


Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, mkuu wa wana wa Gadi