Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 10:19 - Swahili Revised Union Version

19 Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Suri-shadai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Shelumieli mwana wa Suri-shadai, aliliongoza kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Shelumieli mwana wa Suri-shadai, aliliongoza kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Shelumieli mwana wa Suri-shadai, aliliongoza kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Suri-shadai.

Tazama sura Nakili




Hesabu 10:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Kisha beramu ya kambi ya Reubeni ikasafiri kwenda mbele kwa majeshi yao; na juu ya jeshi lake alikuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.


Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo