Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 10:16 - Swahili Revised Union Version

Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 10:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.


Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Isakari alikuwa Nethaneli mwana wa Suari.


Na maskani ilishushwa; na wana wa Gershoni, na wana wa Merari, walioichukua maskani, wakasafiri kwenda mbele.


Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;