Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 10:13 - Swahili Revised Union Version

Nao wakasafiri kwanza kwa amri ya BWANA kwa mkono wa Musa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Mwenyezi-Mungu kama ilivyotolewa na Mose.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Mwenyezi-Mungu kama ilivyotolewa na Mose.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Mwenyezi-Mungu kama ilivyotolewa na Mose.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la Mwenyezi Mungu kupitia kwa Musa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la bwana kupitia kwa Musa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakasafiri kwanza kwa amri ya BWANA kwa mkono wa Musa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 10:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mahali pa mbele ilisafiri beramu ya kambi ya wana wa Yuda, kwa majeshi yao; na Nashoni mwana wa Aminadabu ndiye aliyekuwa juu ya jeshi lake.


Na pengine lile wingu lilikaa juu ya maskani siku chache; ndipo kwa amri ya BWANA walikaa katika kambi yao, tena kwa amri ya BWANA walisafiri.


bali lilipoinuliwa walisafiri. Kwa amri ya BWANA walipiga kambi yao, na kwa amri ya BWANA walisafiri; walimtii BWANA, kwa mkono wa Musa.


BWANA, Mungu wetu, alituambia huko Horebu, akasema, Mmekaa katika mlima huu vya kutosha;