Hesabu 10:13 - Swahili Revised Union Version13 Nao wakasafiri kwanza kwa amri ya BWANA kwa mkono wa Musa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Mwenyezi-Mungu kama ilivyotolewa na Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Mwenyezi-Mungu kama ilivyotolewa na Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Mwenyezi-Mungu kama ilivyotolewa na Mose. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la Mwenyezi Mungu kupitia kwa Musa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la bwana kupitia kwa Musa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Nao wakasafiri kwanza kwa amri ya BWANA kwa mkono wa Musa. Tazama sura |