Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:37 - Swahili Revised Union Version

wale waliohesabiwa katika kabila la Benyamini, walikuwa watu elfu thelathini na tano na mia nne (35,400).

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

walikuwa watu 35,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

walikuwa watu 35,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

walikuwa watu 35,400.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu elfu thelathini na tano na mia nne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wale waliohesabiwa katika kabila la Benyamini, walikuwa watu elfu thelathini na tano na mia nne (35,400).

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:37
7 Marejeleo ya Msalaba  

na wa Benyamini; Eliada mtu shujaa, na pamoja naye elfu mia mbili wenye nyuta na ngao;


Katika wana wa Benyamini, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Katika wana wa Dani, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu thelathini na tano na mia nne.


Hao ndio wana wa Benyamini kwa jamaa zao; na waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tano na mia sita.


Hao wana wa Benyamini walihesabiwa siku ile kutoka hiyo miji, wanaume elfu ishirini na sita waliokuwa na silaha, mbali na hao waliokaa Gibea, ambao walihesabiwa watu wateule mia saba.