Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:31 - Swahili Revised Union Version

wale waliohesabiwa katika kabila la Zabuloni, walikuwa watu elfu hamsini na saba na mia nne (57,400).

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

walikuwa watu 57,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

walikuwa watu 57,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

walikuwa watu 57,400.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu elfu hamsini na saba na mia nne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wale waliohesabiwa katika kabila la Zabuloni, walikuwa watu elfu hamsini na saba na mia nne (57,400).

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:31
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Zabuloni, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Katika wana wa Yusufu, maana katika wana wa Efraimu, vizazi vyao kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani,


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na saba na mia nne.


Hawa ndio jamaa wa Wazabuloni kama waliohesabiwa kwao, elfu sitini na mia tano.