Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:21 - Swahili Revised Union Version

wale waliohesabiwa katika kabila la Reubeni, walikuwa watu elfu arubaini na sita na mia tano (46,500) mmoja mmoja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

walikuwa watu 46,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

walikuwa watu 46,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

walikuwa watu 46,500.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu elfu arobaini na sita na mia tano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wale waliohesabiwa katika kabila la Reubeni, walikuwa watu elfu arobaini na sita na mia tano (46,500) mmoja mmoja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanamume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi wote walioweza kwenda vitani;


Katika wana wa Simeoni, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, wale waliohesabiwa kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanaume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.