Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:7 - Swahili Revised Union Version

Na wa wana wa Elamu, Yeshaya, mwana wa Athalia; na pamoja naye wanaume sabini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeshaya, mwana wa Athalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume 70.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeshaya, mwana wa Athalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume 70.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeshaya, mwana wa Athalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume 70.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume sabini;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Elamu, Yeshaya, mwana wa Athalia; na pamoja naye wanaume sabini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hata Shekania, mwana wa Yehieli, mmoja wa wazawa wa Elamu, akajibu, akamwambia Ezra, Sisi tumemkosea Mungu wetu, nasi tumeoa wanawake wageni wa watu wa nchi hizi; lakini bado kuna tumaini kwa Israeli katika jambo hili.


Watu wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Wazawa wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Na wa wana wa Adini, Ebedi, mwana wa Yonathani; na pamoja naye wanaume hamsini.


Na wa wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli; na pamoja naye wanaume themanini.


Wana wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Wana wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.