Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:3 - Swahili Revised Union Version

wa wana wa Paroshi, Zekaria; na pamoja naye wakahesabiwa kwa nasaba wanaume mia moja na hamsini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

aliyekuwa mwana wa Shekania. Zekaria, wa ukoo wa Paroshi, pamoja na wanaume 150 wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

aliyekuwa mwana wa Shekania. Zekaria, wa ukoo wa Paroshi, pamoja na wanaume 150 wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

aliyekuwa mwana wa Shekania. Zekaria, wa ukoo wa Paroshi, pamoja na wanaume 150 wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Shekania; wa wazao wa Paroshi, alikuwa Zekaria, na watu mia moja na hamsini walioandikishwa;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Shekania; wa wazao wa Paroshi, alikuwa Zekaria, na watu 150 walioandikishwa pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wa wana wa Paroshi, Zekaria; na pamoja naye wakahesabiwa kwa nasaba wanaume mia moja na hamsini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.


Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita.


Na wa Israeli; wa wazawa wa Paroshi; Ramia, na Izia, na Malkiya, na Miyamini, na Eleazari, na Malkiya, na Benaya.


wazawa wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.


Wa wana wa Pahath-Moabu, Eliehoenai, mwana wa Zerahia; na pamoja naye wanaume mia mbili;


Na viongozi wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;


Wana wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.