Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:12 - Swahili Revised Union Version

Na wa wana wa Azgadi, Yohana, mwana wa Hakatani; na pamoja naye wanaume mia moja na kumi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yohanani, mwana wa Hakatani, wa ukoo wa Azgadi, pamoja na watu 110.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yohanani, mwana wa Hakatani, wa ukoo wa Azgadi, pamoja na watu 110.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yohanani, mwana wa Hakatani, wa ukoo wa Azgadi, pamoja na watu 110.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Azgadi, alikuwa Yohanani mwana wa Hakatani na wanaume mia moja na kumi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Azgadi, alikuwa Yohanani mwana wa Hakatani na wanaume 110 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Azgadi, Yohana, mwana wa Hakatani; na pamoja naye wanaume mia moja na kumi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Azgadi, elfu moja mia mbili ishirini na wawili.


Na wa wana wa Bebai, Zekaria, mwana wa Bebai; na pamoja naye wanaume ishirini na wanane.


Na wa wana wa Adonikamu, hawa waliokuwa wa mwisho, na hayo ndiyo majina yao, Elifeleti, na Yeueli, na Shemaya; na pamoja nao wanaume sitini.


Wana wa Azgadi, elfu mbili mia tatu ishirini na wawili.