Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 8:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na wa wana wa Bebai, Zekaria, mwana wa Bebai; na pamoja naye wanaume ishirini na wanane.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume ishirini na nane;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume 28 pamoja naye;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na wa wana wa Bebai, Zekaria, mwana wa Bebai; na pamoja naye wanaume ishirini na wanane.

Tazama sura Nakili




Ezra 8:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wazawa wa Bebai; Yehohanani, na Hanania, na Zakai, na Athlai.


Wazawa wa Bebai, mia sita ishirini na watatu.


Na wa wana wa Binui, Shelomithi, mwana wa Yosifia; na pamoja naye wanaume mia moja na sitini.


Na wa wana wa Azgadi, Yohana, mwana wa Hakatani; na pamoja naye wanaume mia moja na kumi.


Wana wa Bebai, mia sita ishirini na wanane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo