Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:11 - Swahili Revised Union Version

Na wa wana wa Bebai, Zekaria, mwana wa Bebai; na pamoja naye wanaume ishirini na wanane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume ishirini na nane;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume 28 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Bebai, Zekaria, mwana wa Bebai; na pamoja naye wanaume ishirini na wanane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wazawa wa Bebai; Yehohanani, na Hanania, na Zakai, na Athlai.


Wazawa wa Bebai, mia sita ishirini na watatu.


Na wa wana wa Binui, Shelomithi, mwana wa Yosifia; na pamoja naye wanaume mia moja na sitini.


Na wa wana wa Azgadi, Yohana, mwana wa Hakatani; na pamoja naye wanaume mia moja na kumi.


Wana wa Bebai, mia sita ishirini na wanane.