Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:3 - Swahili Revised Union Version

wazawa wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wa ukoo wa Paroshi: 2,172;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wa ukoo wa Paroshi: 2,172;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa ukoo wa Paroshi: 2,172;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wazao wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili (2,172);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wana wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa Israeli; wa wazawa wa Paroshi; Ramia, na Izia, na Malkiya, na Miyamini, na Eleazari, na Malkiya, na Benaya.


ndio hawa waliokuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndiyo hesabu ya watu wa Israeli;


Wazawa wa Shefatia, mia tatu sabini na wawili.


Basi hawa ndio wakuu wa koo za baba zao, na hii ndiyo nasaba ya wale waliokwea pamoja nami kutoka Babeli, wakati wa kutawala kwake mfalme Artashasta.


wa wana wa Paroshi, Zekaria; na pamoja naye wakahesabiwa kwa nasaba wanaume mia moja na hamsini.


Buni, Azgadi, Bebai;


Baada yake akajenga Palali, mwana wa Uzai, kuelekea ugeukapo ukuta, nao mnara utokezao penye nyumba ya juu ya kifalme, iliyopo karibu na uwanda wa walinzi. Baada yake akajenga Pedaya, mwana wa Paroshi,


Wana wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.