Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 10:21 - Swahili Revised Union Version

Na wa wazawa wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Ilya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Ilya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 10:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;


Na wa wazawa wa Imeri; Hanani, na Zebadia.


Na wa wazawa wa Pashuri; Elioenai, na Maaseya, na Ishmaeli, na Nethaneli, na Yozabadi, na Elasa.


Makuhani; wazawa wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.


Wazawa wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.


Ndipo akasimama Yoshua, mwana wa Yosadaki, na ndugu zake makuhani, na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na ndugu zake, nao wakaijenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa sadaka za kuteketezwa juu yake, kama ilivyoandikwa katika Torati ya Musa, mtu wa Mungu.


Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.


Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.