Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 10:20 - Swahili Revised Union Version

20 Na wa wazawa wa Imeri; Hanani, na Zebadia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura Nakili




Ezra 10:20
8 Marejeleo ya Msalaba  

ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri;


Nao wakatoa ahadi ya kwamba wataachana na wake zao; na kwa kuwa walikuwa na hatia, wakatoa kondoo dume kwa hatia yao.


Na wa wazawa wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.


Makuhani; wazawa wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.


Wazawa wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.


Wazawa wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.


Ndipo akasimama Yoshua, mwana wa Yosadaki, na ndugu zake makuhani, na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na ndugu zake, nao wakaijenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa sadaka za kuteketezwa juu yake, kama ilivyoandikwa katika Torati ya Musa, mtu wa Mungu.


Wana wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo