Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 10:21 - Swahili Revised Union Version

21 Na wa wazawa wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Ilya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Ilya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Na wa wana wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.

Tazama sura Nakili




Ezra 10:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;


Na wa wazawa wa Imeri; Hanani, na Zebadia.


Na wa wazawa wa Pashuri; Elioenai, na Maaseya, na Ishmaeli, na Nethaneli, na Yozabadi, na Elasa.


Makuhani; wazawa wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.


Wazawa wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.


Ndipo akasimama Yoshua, mwana wa Yosadaki, na ndugu zake makuhani, na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na ndugu zake, nao wakaijenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa sadaka za kuteketezwa juu yake, kama ilivyoandikwa katika Torati ya Musa, mtu wa Mungu.


Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.


Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo