Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 4:28 - Swahili Revised Union Version

Hayo yote yakampata mfalme Nebukadneza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hayo yote yalimpata mfalme Nebukadneza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hayo yote yalimpata mfalme Nebukadneza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hayo yote yalimpata mfalme Nebukadneza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Hayo yote yakampata mfalme Nebukadinesari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 4:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Aogopacho mtu asiye haki ndicho kitakachomjilia; Na wenye haki watapewa matakwa yao.


Lakini moyo wake ulipoinuliwa, na roho yake ilipokuwa ngumu akatenda kwa kiburi, alishushwa katika kiti chake cha enzi, nao wakamwondolea utukufu wake.


Lakini maneno yangu, na amri zangu nilizowaagiza hao manabii, watumishi wangu, je, Hazikuwapata baba zenu? Nao wakatubu na kusema, BWANA wa majeshi ametutenda kulingana na njia zetu, na matendo yetu, kama alivyokusudia kutenda.


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.