Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Amosi 3:3 - Swahili Revised Union Version

Je! Watu wawili wanaweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, watu wawili huanza safari pamoja, bila ya kufanya mpango pamoja kwanza?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, watu wawili huanza safari pamoja, bila ya kufanya mpango pamoja kwanza?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, watu wawili huanza safari pamoja, bila ya kufanya mpango pamoja kwanza?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Watu wawili wanaweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Amosi 3:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.


Henoko akaenda pamoja na Mungu. Baada ya kumzaa Methusela aliishi miaka mia tatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.


Ni ninyi tu niliowajua katika jamaa zote zilizo duniani; kwa sababu hiyo nitawapatiliza ninyi maovu yenu yote.


Je! Simba atanguruma mwituni, asipokuwa na mawindo? Mwanasimba atalia pangoni mwake, ikiwa hakupata kitu?


Lisikieni neno hili, enyi ng'ombe wa Bashani, mnaokaa juu ya mlima wa Samaria, mnaowaonea maskini, na kuwaponda wahitaji; mnaowaambia bwana zao, Haya! Leteni, tunywe.