Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 3:3 - Swahili Revised Union Version

3 Je! Watu wawili wanaweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Je, watu wawili huanza safari pamoja, bila ya kufanya mpango pamoja kwanza?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Je, watu wawili huanza safari pamoja, bila ya kufanya mpango pamoja kwanza?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Je, watu wawili huanza safari pamoja, bila ya kufanya mpango pamoja kwanza?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Je! Watu wawili wanaweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?

Tazama sura Nakili




Amosi 3:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.


Henoko akaenda pamoja na Mungu. Baada ya kumzaa Methusela aliishi miaka mia tatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.


Ni ninyi tu niliowajua katika jamaa zote zilizo duniani; kwa sababu hiyo nitawapatiliza ninyi maovu yenu yote.


Je! Simba atanguruma mwituni, asipokuwa na mawindo? Mwanasimba atalia pangoni mwake, ikiwa hakupata kitu?


Lisikieni neno hili, enyi ng'ombe wa Bashani, mnaokaa juu ya mlima wa Samaria, mnaowaonea maskini, na kuwaponda wahitaji; mnaowaambia bwana zao, Haya! Leteni, tunywe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo