Mwanzo 6:9 - Swahili Revised Union Version9 Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Ifuatayo ni habari juu ya Noa ambaye alikuwa ndiye mwadilifu pekee na ambaye hakuwa na lawama nyakati zake. Alikuwa mcha Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Ifuatayo ni habari juu ya Noa ambaye alikuwa ndiye mwadilifu pekee na ambaye hakuwa na lawama nyakati zake. Alikuwa mcha Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Ifuatayo ni habari juu ya Noa ambaye alikuwa ndiye mwadilifu pekee na ambaye hakuwa na lawama nyakati zake. Alikuwa mcha Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, na mkamilifu miongoni mwa watu wa wakati wake, tena alitembea na Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, na mkamilifu miongoni mwa watu wa wakati wake, tena alitembea na Mungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu. Tazama sura |