Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Amosi 1:10 - Swahili Revised Union Version

lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Tiro, nao utayateketeza majumba yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Tiro, na kuziteketeza kabisa ngome zake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Tiro, na kuziteketeza kabisa ngome zake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Tiro, na kuziteketeza kabisa ngome zake.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Tiro, nao utayateketeza majumba yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Amosi 1:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu ya siku ijayo kuwaangamiza Wafilisti wote, kukatilia mbali kila msaidizi wa Tiro na Sidoni asaliaye; maana BWANA atawaharibu Wafilisti, mabaki ya kisiwa cha Kaftori.


Nao wataufanya utajiri wako kuwa mateka, na bidhaa yako kuwa mawindo; nao watazibomoa kuta zako, na kuziharibu nyumba zako zipendezazo; nao watatupa mawe yako, na miti yako, na mavumbi yako, kati ya maji.


Nao wataziharibu kuta za Tiro, na kuibomoa minara yake; tena nitakwangua hata mavumbi yake yamtoke, na kumfanya kuwa jabali tupu.


Kwa wingi wa maovu yako, katika uovu wa uchuuzi wako, umepatia unajisi patakatifu pako; basi nimetokeza moto kutoka ndani yako, nao umekuteketeza, nami nimekufanya kuwa majivu juu ya nchi, machoni pa watu wote wakutazamao.


Naam, na ninyi ni kitu gani kwangu, enyi Tiro, na Sidoni, na nchi zote za Filisti? Je! Mtanirudishia malipo? Au mtanitenda neno lolote? Upesi na kwa haraka nitawarudishia malipo yenu juu ya vichwa vyenu wenyewe.


lakini nitatuma moto uingie katika nyumba ya Hazaeli, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.


lakini nitatuma moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.


Tazama, Bwana atamwondolea mali zake, naye ataupiga uwezo wake alio nao baharini, naye mwenyewe atateketezwa kwa moto.