Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 1:10 - Swahili Revised Union Version

10 lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Tiro, nao utayateketeza majumba yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Tiro, na kuziteketeza kabisa ngome zake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Tiro, na kuziteketeza kabisa ngome zake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Tiro, na kuziteketeza kabisa ngome zake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Tiro, nao utayateketeza majumba yake.

Tazama sura Nakili




Amosi 1:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu ya siku ijayo kuwaangamiza Wafilisti wote, kukatilia mbali kila msaidizi wa Tiro na Sidoni asaliaye; maana BWANA atawaharibu Wafilisti, mabaki ya kisiwa cha Kaftori.


Nao wataufanya utajiri wako kuwa mateka, na bidhaa yako kuwa mawindo; nao watazibomoa kuta zako, na kuziharibu nyumba zako zipendezazo; nao watatupa mawe yako, na miti yako, na mavumbi yako, kati ya maji.


Nao wataziharibu kuta za Tiro, na kuibomoa minara yake; tena nitakwangua hata mavumbi yake yamtoke, na kumfanya kuwa jabali tupu.


Kwa wingi wa maovu yako, katika uovu wa uchuuzi wako, umepatia unajisi patakatifu pako; basi nimetokeza moto kutoka ndani yako, nao umekuteketeza, nami nimekufanya kuwa majivu juu ya nchi, machoni pa watu wote wakutazamao.


Naam, na ninyi ni kitu gani kwangu, enyi Tiro, na Sidoni, na nchi zote za Filisti? Je! Mtanirudishia malipo? Au mtanitenda neno lolote? Upesi na kwa haraka nitawarudishia malipo yenu juu ya vichwa vyenu wenyewe.


lakini nitatuma moto uingie katika nyumba ya Hazaeli, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.


lakini nitatuma moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.


Tazama, Bwana atamwondolea mali zake, naye ataupiga uwezo wake alio nao baharini, naye mwenyewe atateketezwa kwa moto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo