Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 1:7 - Swahili Revised Union Version

7 lakini nitatuma moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Gaza, nao utaziteketeza kabisa ngome zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Gaza, nao utaziteketeza kabisa ngome zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Basi, nitazishushia moto kuta za mji wa Gaza, nao utaziteketeza kabisa ngome zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 nitatuma moto juu ya kuta za Gaza ambao utateketeza ngome zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 nitatuma moto juu ya kuta za Gaza ambao utateketeza ngome zake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 lakini nitatuma moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.

Tazama sura Nakili




Amosi 1:7
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akawapiga Wafilisti mpaka Gaza na mipaka yake, tangu mnara wa walinzi hata mji wenye boma.


Akatoka akapigana na Wafilisti, akauvunja ukuta wa Gathi, na ukuta wa Yabne, na ukuta wa Ashdodi; akajenga miji katika Ashdodi na katikati ya Wafilisti.


Neno la BWANA lililomjia Yeremia, nabii, kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajashambulia Gaza.


Upaa umeupata Gaza; Ashkeloni umenyamazishwa Mabaki ya bonde lao; Hata lini utajikatakata?


Nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, nitakapoweka moto katika Misri, na hao wote wamsaidiao watakapoangamia.


Nami nitapeleka moto juu ya Magogu; na juu ya watu wote wakaao salama katika visiwa; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


lakini nitatuma moto uingie katika nyumba ya Hazaeli, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.


Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waiiteka nyara kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu;


Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.


Kwa kuwa Gaza utaachwa, na Ashkeloni utakuwa ukiwa; wataufukuzia mbali Ashdodi wakati wa adhuhuri, na Ekroni utang'olewa.


Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.


Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo