Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Yohana 1:11 - Swahili Revised Union Version

Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeyote amkaribishaye mtu kama huyo anashiriki katika matendo yake maovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Yohana 1:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ulipomwona mwizi ulikuwa radhi naye, Ukashirikiana na wazinzi.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala usizishiriki dhambi za watu wengine. Ujilinde nafsi yako uwe safi.


Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.


na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto; na wengine wahurumieni kwa hofu, mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili.


Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.