Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Yohana 1:11 - Swahili Revised Union Version

11 Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yeyote amkaribishaye mtu kama huyo anashiriki katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.

Tazama sura Nakili




2 Yohana 1:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ulipomwona mwizi ulikuwa radhi naye, Ukashirikiana na wazinzi.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala usizishiriki dhambi za watu wengine. Ujilinde nafsi yako uwe safi.


Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.


na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto; na wengine wahurumieni kwa hofu, mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili.


Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo