Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 2:6 - Swahili Revised Union Version

Yampasa mkulima mwenye bidii ya kazi kuwa wa kwanza wa kupata fungu la mavuno.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yampasa mkulima mwenye bidii ya kazi kuwa wa kwanza wa kupata fungu la mavuno.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 2:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye autunzaye mtini atakula matunda yake; Naye amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa.


Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyetoka alfajiri kwenda kuwaajiri wafanya kazi awapeleke katika shamba lake la mizabibu.


Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda, akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta nyingine tano.


Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini wafanya kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke wafanya kazi katika mavuno yake.


Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya Injili ili kuishiriki pamoja na wengine.


Yatafakari sana hayo nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo yote.


Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi.


Maana nchi inayoinywa mvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuzaa mboga zenye manufaa kwa hao ambao kwa ajili yao inalimwa, hupokea baraka zitokazo kwa Mungu;