2 Timotheo 2:5 - Swahili Revised Union Version5 Hata mwanariadha hapewi taji, asiposhindana kwa kufuata sheria. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Vivyo hivyo, mwanariadha hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Hata mwanariadha hapewi taji, asiposhindana kwa kufuata sheria. Tazama sura |