Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 24:19 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi akakwea kama alivyoagizwa na Gadi, kama BWANA alivyoamuru.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Daudi akapanda juu kufuatana na neno la Gadi kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Daudi akapanda juu kufuatana na neno la Gadi kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Daudi akapanda juu kufuatana na neno la Gadi kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Daudi akakwea kama vile Mwenyezi Mungu alivyokuwa ameamuru kwa kinywa cha Gadi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Daudi akakwea kama vile bwana alivyokuwa ameamuru kwa kinywa cha Gadi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi akakwea kama alivyoagizwa na Gadi, kama BWANA alivyoamuru.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 24:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.


Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, Haya! Kwea wewe, ukamwinulie BWANA madhabahu penye kiwanja cha Arauna, Myebusi.


Huyo Arauna akatazama, akamwona mfalme na watumishi wake wakimjia; Arauna akatoka, akasujudu mbele ya mfalme kifudifudi hadi chini.


Basi Daudi akakwea kulingana na neno la Gadi, alilolinena kwa jina la BWANA.


Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini BWANA, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.


lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Walakini hawakukutii, wakakuasi, wakaitupa sheria yako nyuma yao, wakawaua manabii wako waliowaonya ili wapate kukurudia wewe; wakakufuru sana.


Kwa imani Abrahamu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.