Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:41 - Swahili Revised Union Version

Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Ili niwakatilie mbali wanaonichukia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uliwafanya adui zangu wakimbie, na wale walionichukia niliwaangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uliwafanya adui zangu wakimbie, na wale walionichukia niliwaangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uliwafanya adui zangu wakimbie, na wale walionichukia niliwaangamiza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Ili niwakatilie mbali wanaonichukia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:41
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda, ndugu zako watakusifu, Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watakuinamia.


Nitatuma utisho wangu utangulie mbele yako, nami nitawafadhaisha watu wote utakaowafikia, nami nitawafanya hao adui zako wote wakuoneshe maungo yao.


Lakini watu wa mji wake walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje, Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemadari wa watu wa vita waliokwenda naye, Haya, jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa. Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao.