Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:34 - Swahili Revised Union Version

Huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu; Na kunisimamisha mahali pangu pa juu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ameiimarisha miguu yangu kama ya paa, na kuniweka salama juu ya vilele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ameiimarisha miguu yangu kama ya paa, na kuniweka salama juu ya vilele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ameiimarisha miguu yangu kama ya paa, na kuniweka salama juu ya vilele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu; Na kunisimamisha mahali pangu pa juu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana watatu wa Seruya walikuwako huko, Yoabu, na Abishai, na Asaheli; na Asaheli alikuwa mwepesi wa miguu kama kulungu.


Basi haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi. Daudi, mwana wa Yese, anena, Anena huyo mtu aliyeinuliwa juu, Yeye, masihi wake Mungu wa Yakobo, Mtungaji wa nyimbo za Israeli mwenye kupendeza;


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


ndipo utakapojifurahisha katika BWANA; nami nitakupandisha mahali pa nchi palipoinuka; nitakulisha urithi wa Yakobo baba yako; kwa maana kinywa cha BWANA kimenena hayo.


MUNGU, aliye BWANA, ni nguvu zangu, Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu, Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.


Alimpandisha mahali pa nchi palipoinuka, Naye akala mazao ya mashamba; Akamnyonyesha asali iliyotoka jabalini, Na mafuta yaliyotoka katika mwamba wa gumegume;


Makomeo yako yatakuwa ya chuma na shaba; Na kadiri ya siku zako ndivyo zitakavyokuwa nguvu zako.