Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:30 - Swahili Revised Union Version

Maana kwa msaada wako nafuatia jeshi; Kwa msaada wa Mungu wangu ninaruka ukuta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa msaada wako, wakishambulia kikosi; wewe wanipa nguvu ya kuruka kuta zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa msaada wako, wakishambulia kikosi; wewe wanipa nguvu ya kuruka kuta zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa msaada wako, wakishambulia kikosi; wewe wanipa nguvu ya kuruka kuta zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi, nikiwa pamoja na Mungu wangu nitaweza kuruka ukuta.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi, nikiwa pamoja na Mungu wangu nitaweza kuruka ukuta.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana kwa msaada wako nafuatia jeshi; Kwa msaada wa Mungu wangu ninaruka ukuta.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya BWANA imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia.


Kisha mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu ili kupigana na Wayebusi, wenyeji wa nchi ile; nao wakamwambia Daudi, hutaingia humu kamwe; maana hata vipofu na viwete watakufukuzia mbali; huku wakidhania ya kuwa Daudi hawezi kuingia humo.


Maana kwa msaada wako nafuatia jeshi, Kwa msaada wa Mungu wangu naruka ukuta.


Lakini katika mambo hayo yote sisi ni zaidi ya washindi, kupitia kwake yeye aliyetupenda.


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.