Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:27 - Swahili Revised Union Version

Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu, lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu, lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu, lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa aliye mtakatifu unajionesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:27
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Sasa najua ya kuwa BWANA ni mkuu kuliko miungu yote; naam, katika jambo hilo walilowatenda kwa ujeuri.


Ole wake ashindanaye na Muumba wake! Kigae kimoja katika vigae vya dunia! Je! Udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unatengeneza nini? Au chombo ulichotengeneza hakina mikono?


Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.