Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:27 - Swahili Revised Union Version

27 Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu, lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu, lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu, lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 kwa aliye mtakatifu unajionesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:27
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Sasa najua ya kuwa BWANA ni mkuu kuliko miungu yote; naam, katika jambo hilo walilowatenda kwa ujeuri.


Ole wake ashindanaye na Muumba wake! Kigae kimoja katika vigae vya dunia! Je! Udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unatengeneza nini? Au chombo ulichotengeneza hakina mikono?


Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo