Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 17:4 - Swahili Revised Union Version

Shauri hili likawa jema machoni pa Absalomu, na machoni pa wazee wote wa Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shauri hilo la Ahithofeli lilimpendeza Absalomu na wazee wote wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shauri hilo la Ahithofeli lilimpendeza Absalomu na wazee wote wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shauri hilo la Ahithofeli lilimpendeza Absalomu na wazee wote wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpango huu ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee wote wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpango huu ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee wote wa Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shauri hili likawa jema machoni pa Absalomu, na machoni pa wazee wote wa Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 17:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

na hao watu wote nitawarejesha kwako; kama bibi arusi anavyorudi nyumbani kwa mumewe. Kurudi kwa yule mtu umtafutaye ni kana kurudi kwa wote; maana watu wote watakuwa katika amani.


Ndipo Absalomu akasema, Basi, mwiteni Hushai, Mwarki, naye, tukasikie atakayosema yeye pia.


Likawa neno jema machoni pa mfalme, na kusanyiko lote.


Basi neno hili likawapendeza mfalme na wakuu wake; naye mfalme akafanya kama alivyopendekeza Memukani.


Basi Zereshi mkewe na marafiki wote wa Hamani wakamwambia, Na kitengenezwe kiunzi cha mti wa kunyongea wa urefu wa mikono hamsini, na kesho asubuhi useme na mfalme ili Mordekai atundikwe juu yake; ndipo utakapoingia kwa furaha pamoja na mfalme karamuni. Basi ushauri huu ukamridhisha Hamani, akautengeneza mti wa kunyongea.


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.


Naye Sauli akasema, Na mbarikiwe ninyi na BWANA; kwa sababu mmenihurumia.