Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 17:5 - Swahili Revised Union Version

5 Ndipo Absalomu akasema, Basi, mwiteni Hushai, Mwarki, naye, tukasikie atakayosema yeye pia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kisha, Absalomu akasema, “Mwiteni Hushai pia, yule mtu wa Arki, tusikie analotaka kusema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kisha, Absalomu akasema, “Mwiteni Hushai pia, yule mtu wa Arki, tusikie analotaka kusema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kisha, Absalomu akasema, “Mwiteni Hushai pia, yule mtu wa Arki, tusikie analotaka kusema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini Absalomu akasema, “Pia mwiteni Hushai, Mwarki, ili tuweze kusikia anachokisema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini Absalomu akasema, “Pia mwiteni Hushai, Mwariki, ili tuweze kusikia anachokisema.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Ndipo Absalomu akasema, Basi, mwiteni Hushai, Mwarki, naye, tukasikie atakayosema yeye pia.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 17:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


Shauri hili likawa jema machoni pa Absalomu, na machoni pa wazee wote wa Israeli.


Basi Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamwambia, akasema, Ahithofeli amesema hivi; je! Tufanye kama alivyosema? Kama sivyo, sema maneno yako.


Akawaambia, Mwanipa shauri gani ili tuwajibu watu hawa, waliosema nami, wakinena Utufanyie jepesi kongwa lile alilotutwika baba yako?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo