Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 17:6 - Swahili Revised Union Version

6 Basi Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamwambia, akasema, Ahithofeli amesema hivi; je! Tufanye kama alivyosema? Kama sivyo, sema maneno yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu alimwuliza, “Hivyo ndivyo alivyosema Ahithofeli. Je, tufanye kama alivyotushauri? Kama sivyo, basi, tuambie lako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu alimwuliza, “Hivyo ndivyo alivyosema Ahithofeli. Je, tufanye kama alivyotushauri? Kama sivyo, basi, tuambie lako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu alimwuliza, “Hivyo ndivyo alivyosema Ahithofeli. Je, tufanye kama alivyotushauri? Kama sivyo, basi, tuambie lako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Hushai alipokuja, Absalomu akasema, “Ahithofeli ametoa ushauri huu. Je, tufanye anavyosema? Kama sivyo, tupe maoni yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Hushai alipokuja, Absalomu akasema, “Ahithofeli ametoa shauri hili. Je, tufanye anavyosema? Kama sivyo, tupe maoni yako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Basi Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamwambia, akasema, Ahithofeli amesema hivi; je! Tufanye kama alivyosema? Kama sivyo, sema maneno yako.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 17:6
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Absalomu akasema, Basi, mwiteni Hushai, Mwarki, naye, tukasikie atakayosema yeye pia.


Hushai akamwambia Absalomu, Ushauri huu alioutoa Ahithofeli si mwema wakati huu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo