Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 17:7 - Swahili Revised Union Version

7 Hushai akamwambia Absalomu, Ushauri huu alioutoa Ahithofeli si mwema wakati huu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hushai akamwambia Absalomu, “Wakati huu, shauri alilolitoa Ahithofeli si jema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hushai akamwambia Absalomu, “Wakati huu, shauri alilolitoa Ahithofeli si jema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hushai akamwambia Absalomu, “Wakati huu, shauri alilolitoa Ahithofeli si jema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hushai akamjibu Absalomu, “Ushauri alioutoa Ahithofeli haufai kwa wakati huu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hushai akamjibu Absalomu, “Shauri la Ahithofeli alilotoa halifai kwa wakati huu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Hushai akamwambia Absalomu, Ushauri huu alioutoa Ahithofeli si mwema wakati huu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 17:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


lakini ukirudi mjini, na kumwambia Absalomu, Nitakuwa mtumishi wako, Ee mfalme; kama vile nilivyokuwa mtumishi wa baba yako tokea zamani, ndivyo nitakavyokuwa mtumishi wako sasa; ndipo utayavunja mashauri ya Ahithofeli kwa ajili yangu.


Naye Ahithofeli akamwambia Absalomu, Ingia wewe kwa masuria wa baba yako, hao aliowaacha ili kutunza nyumba; na Israeli wote watasikia ya kuwa umechukizwa kabisa na baba yako; ndipo itatiwa nguvu mikono yao wote walio pamoja nawe.


Basi Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamwambia, akasema, Ahithofeli amesema hivi; je! Tufanye kama alivyosema? Kama sivyo, sema maneno yako.


Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo