2 Samueli 17:4 - Swahili Revised Union Version4 Shauri hili likawa jema machoni pa Absalomu, na machoni pa wazee wote wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Shauri hilo la Ahithofeli lilimpendeza Absalomu na wazee wote wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Shauri hilo la Ahithofeli lilimpendeza Absalomu na wazee wote wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Shauri hilo la Ahithofeli lilimpendeza Absalomu na wazee wote wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Mpango huu ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee wote wa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Mpango huu ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee wote wa Israeli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Shauri hili likawa jema machoni pa Absalomu, na machoni pa wazee wote wa Israeli. Tazama sura |
Basi Zereshi mkewe na marafiki wote wa Hamani wakamwambia, Na kitengenezwe kiunzi cha mti wa kunyongea wa urefu wa mikono hamsini, na kesho asubuhi useme na mfalme ili Mordekai atundikwe juu yake; ndipo utakapoingia kwa furaha pamoja na mfalme karamuni. Basi ushauri huu ukamridhisha Hamani, akautengeneza mti wa kunyongea.