Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Esta 1:21 - Swahili Revised Union Version

21 Basi neno hili likawapendeza mfalme na wakuu wake; naye mfalme akafanya kama alivyopendekeza Memukani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Wazo hilo lilimpendeza sana mfalme na viongozi wake, akatekeleza kama alivyopendekeza Memukani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Wazo hilo lilimpendeza sana mfalme na viongozi wake, akatekeleza kama alivyopendekeza Memukani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Wazo hilo lilimpendeza sana mfalme na viongozi wake, akatekeleza kama alivyopendekeza Memukani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mfalme na wakuu wake walipendezwa na shauri hili, hivyo basi mfalme akafanya kama Memukani alivyopendekeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mfalme na wakuu wake walipendezwa na shauri hili, hivyo basi mfalme akafanya kama Memukani alivyopendekeza.

Tazama sura Nakili




Esta 1:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Neno hilo likawa jema machoni pa Farao, na machoni pa watumishi wake wote.


Basi mfalme akiona vema, na itoke kwake amri ya kifalme, nayo iandikwe katika sheria za Waajemi na Wamedi isitanguke, ya kwamba Vashti asifike tena mbele ya mfalme Ahasuero; na umalkia wake mfalme ampe mwingine aliye mwema kuliko yeye.


Basi mbiu ya mfalme atakayoipiga itakapotangazwa katika ufalme wake wote, nao ni mkubwa, wake wote watawaheshimu waume zao, wakubwa kwa wadogo.


Kwa maana alipeleka nyaraka katika majimbo yote ya mfalme, kila jimbo kwa mwandiko wake, na kila taifa kwa lugha yake, ya kwamba kila mwanamume atawale nyumbani mwake, na kuitangaza habari hii kwa lugha ya watu wake.


Naye yule msichana atakayempendeza mfalme na awe malkia badala ya Vashti. Neno hilo likampendeza mfalme, naye akafanya hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo