Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 9:4 - Swahili Revised Union Version

Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 9:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Jua likiisha kuchwa atakuwa safi; kisha baadaye atakula katika vitu vitakatifu, maana ni chakula chake.


wala mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo; maana mfanyakazi astahili posho yake.


Basi, kaeni katika nyumba iyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; maana, mfanya kazi amestahili kupewa ujira wake. Msihamahame kutoka nyumba hii kwenda nyumba hii.


Sikutamani fedha wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.


Hilo ndilo jawabu langu kwa wale wanaoniuliza.


Mwanafunzi na amshirikishe mwalimu wake katika mema yote.


Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine, ingawa tungeweza kuwalemea kama Mitume wa Kristo;


Maana, ndugu, mnakumbuka taabu yetu na masumbufu yetu; kwa kuwa mchana na usiku tulifanya kazi tusije tukamlemea mtu wa kwenu awaye yote, huku tukiwahubiria Injili ya Mungu.