Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 9:4 - Swahili Revised Union Version

4 Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Je, hatuna haki ya kula na kunywa?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 9:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Jua likiisha kuchwa atakuwa safi; kisha baadaye atakula katika vitu vitakatifu, maana ni chakula chake.


wala mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo; maana mfanyakazi astahili posho yake.


Basi, kaeni katika nyumba iyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; maana, mfanya kazi amestahili kupewa ujira wake. Msihamahame kutoka nyumba hii kwenda nyumba hii.


Sikutamani fedha wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.


Hilo ndilo jawabu langu kwa wale wanaoniuliza.


Mwanafunzi na amshirikishe mwalimu wake katika mema yote.


Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine, ingawa tungeweza kuwalemea kama Mitume wa Kristo;


Maana, ndugu, mnakumbuka taabu yetu na masumbufu yetu; kwa kuwa mchana na usiku tulifanya kazi tusije tukamlemea mtu wa kwenu awaye yote, huku tukiwahubiria Injili ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo